Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Tazama baadhi ya matukio ya kukumbukwa ya Mfalme wa Soka duniani Pele
Pele ni miongoni mwa wanasoka bora zaidi katika historia, amefariki akiwa na umri wa miaka 82 nchini Brazil.
Mshindi huyo mara tatu wa Kombe la Dunia alizungumza na vyombo vya habari mwezi Oktoba akiwa hospitalini kuwashukuru mashabiki wake na mungu kwa umri wake.
Pele alizaliwa mwaka wa 1940 katika familia maskini kusini-mashariki mwa Brazil, alifanikiwa kupata umaarufu wa soka licha ya kuvumilia umaskini.