BBC News, Swahili - Habari
Habari Kuu
Meli zilizowekewa vikwazo na Marekani zapita Mlango wa Hormuz huku China ikiita kizuizi cha Trump kuwa ‘hatari’
Meli nne zinazohusishwa na Iran, zimepita katika Mlango bahari wa Hormuz baada ya kizuizi cha kijeshi cha Marekani kuanza kutekelezwa
Polisi Tanzania imezuia pasipoti ya mpenzi wa Ashley na wanamhoji
Polisi nchini Tanzania pia wamesema wanaendelea kufanya uchunguzi wakisubiria majibu kutoka kwa madaktari cha kubaini kisa cha kifo cha mwanadada huyo raia wa Marekani.
'Natumai vita havitaanza tena': Wairan wana wasiwasi baada ya mazungumzo kutibuka
Mazungumzo dhaifu ya kusitisha mapigano kati ya Marekani na Iran yamezidi kuwa magumu baada ya juhudi za kumaliza vita kati ya pande hizo mbili nchini Pakistan kumalizika bila makubaliano.
Mambo matatu ambayo ni kiini cha mzozo wa Trump na Papa Leo XIV
Alichaguliwa Mei 2025 kama Papa wa kwanza mzaliwa wa Marekani — akiitwa Kardinali Robert Prevost—awali alitumia mtindo wa kutomtaja Trump kwa jina. Lakini sasa mambo yamebadilika
Hospitali iliyoeneza virusi vya HIV kwa watoto kutokana na matumizi ya sindano zilizokwisha tumika
Dkt. Gul Qaisrani, daktari katika kliniki binafsi, alikuwa wa kwanza kugundua mlipuko wa VVU mwishoni mwa mwaka 2024 baada ya kugundua ongezeko la idadi ya watoto wanaokuja katika kliniki yake ambao walipimwa na kupatikana na virusi vya UKIMWI.
'Sasa nampenda': Mama anavyoishi na mtoto wake mwenye usonji
Mama wa Malawi Martha Ongwane, aliathiriwa sana na hali ya usonji iliyomkabili binti yake mdogo hadi alipopata msaada kwa kundi ambalo hakuutarajia.
Lebanon yaanza mazungumzo na Israel lakini haina nguvu ya ushawishi
Serikali ya Lebanon inaingia katika mazungumzo ya amani ikiwa na ushawishi mdogo kwa kundi hilo.
Tetesi za Soka Ulaya Jumanne: Arsenal na Chelsea zamfukuzia Lewis Hall
Liverpool na Manchester United wanamtaka nahodha wa RB Leipzig, David Raum baada ya kuvutiwa na beki huyo wa kushoto wa Ujerumani mwenye umri wa miaka 27 wakati wa ziara ya kusaka wachezaji msimu huu.
Ni kipi kitafuata baada ya mazungumzo ya amani ya Iran na Marekani kuvunjika?
Ikiwa historia ni mwongozo, mara ya mwisho Iran ilipofikia makubaliano ya nyuklia na Marekani na mataifa mengine yenye nguvu mwaka 2015, ilichukua miezi 18 ya maendeleo ya vipindi na kuvunjika mara kwa mara.
Papa atoa kipaumbele kwa Afrika ambako Ukatoliki unakuwa kwa kasi zaidi
Leo XIV anataka dunia ielekeze macho yake katika bara lenye umuhimu mkubwa kwa mustakabali wa Kanisa Katoliki, amesema msaidizi wake.
Kizuizi cha kijeshi ni nini na kitafanyaje kazi katika Mlango-Bahari wa Hormuz?
Katika chapisho lake kwenye Truth Social siku ya Jumapili, Rais wa Marekani Donald Trump alisema Marekani itaanza "kuzuia meli zote zinazoingia au kutoka, kwenye Mlango-Bahari wa Hormuz.”
Sikiza / Tazama
Unataka kupunguza gharama za data?
Soma mtandao wetu wa maandishi kwa gharama ndogo za data.
Gumzo mitandaoni
Sababu tano zinazotajwa kukwamisha mazungumzo ya Marekani na Iran
Kabla ya mazungumzo hayo, kulikuwa na matarajio makubwa kutoka kwa Pakistan na wadau wa kimataifa kwamba huenda yakaleta mwanga wa suluhisho la kudumu.
Jinsi Iran Ilivyogeuza Mlango wa Hormuz kuwa silaha yenye nguvu zaidi duniani
Ikiwa Iran itajaribu kutoza ada kwa meli zinazopita katika Mlango wa Hormuz, swali kuu ni kama Marekani, nchi za Magharibi, na washirika wa kikanda watakubali hatua hiyo.
Mpango wa kufuta uchaguzi wa urais unawaweka Wazimbabwe katika mvutano mkubwa
Chama tawala kimewasilisha muswada wa sheria ambao unawanyima wapiga kura nafasi ya kumchagua rais.
Mwaka mmoja wa Tundu Lissu gerezani; nini kinaendelea?
Leo Aprili 9, 2026, imetimia mwaka mmoja tangu Tundu Lissu, Mwenyekiti wa Chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania (CHADEMA), kukamatwa na kuwekwa gerezani kwa mashtaka ya uhaini na uchochezi.
Mataifa 10 yanayoongoza katika uzalishaji wa mafuta duniani
Kulingana na mamlaka ya nishati duniani EIA, Iran ina hifadhi kubwa ya mafuta ghafi duniani.
Christina Koch: Mwanamke wa kwanza kusafiri kwenda mwezini
Mwaka wa 1968, Bill Anders, mmoja wa wanamisheni wa Apollo 8, alipiga picha ya Dunia ambayo iliandika historia, kuathiri maisha ya wengi, na kuhamasisha kizazi kizima.
Kusitisha mapigano kwa muda kunaweza kumaliza vita?
Licha ya kuwepo na makubaliano, vita vinaweza kuendelea baada ya vipengele vilivyokubaliwa kutotekelezwa.
Jinsi vikosi maalum vya jeshi la Marekani hufanya oparesheni ya uokoaji wakati wa vita
Operesheni za kuokoa marubani wa Marekani waliopotea au kuanguka zimekuwa chache katika miongo ya hivi karibuni.
Jinsi Pakistan ilivyosaidia kusitisha vita kati ya Marekani na Iran
Ila Pakistan ikiwa mwenyeji wa mazungumzo hayo, swali la kujiuliza ni iwapo matakwa muhimu za kila pande zitakubalika.
Wanaanga wa Artemis II wavunja rekodi kwa safari ya kihistoria mwezini
Lengo la misheni hii ilikuwa kuweka msingi kwa ajili ya kutua mwezini katika misheni ijayo ya Artemis III.
Kutana na 'mmiliki' wa mwezi aliyeuza ardhi mwezini na kuwa bilionea
Wanunuzi walikuwa watu maarufu kama marais wa zamani wa Marekani Ronald Reagan, Jimmy Carter na hoteli kubwa kama Hilton na Marriot.
Jinsi rubani wa Marekani aliyetoweka Iran alivyookolewa
Marekani imemuokoa rubani wa pili aliyepotea baada ya ndege ya kivita ya nchi hiyo kudunguliwa kusini mwa Iran.
BBC News Swahili sasa ipo WhatsApp
Vipindi vya Redio
Listen Next, Amka Na BBC, 05:59, 15 Aprili 2026, Muda 29,30
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki
Sikiliza, Dira Ya Dunia, 18:29, 14 Aprili 2026, Muda 1,00,00
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki
Sikiliza, Amka Na BBC, 06:59, 14 Aprili 2026, Muda 29,30
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki
Sikiliza, Amka Na BBC, 05:59, 14 Aprili 2026, Muda 29,30
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki
Dira ya Dunia TV
Kipindi cha habari motomoto, kinachowaweka watazamaji karibu zaidi na yanayojiri duniani



























































