Maandamano ya Saba saba Kenya: Watu 10 wauwa na wengine 29 kujeruhiwa- Shirika la haki za binadamu Kenya

Barabara kuu za jiji la Nairobi na mitaa imefungwa siku nzima huku idadi kubwa ya polisi wakionekana kukabiliana na waandamanaji na kushika doria katika maeneo mbali mbali ya nchi.

Muhtasari