“Natamani tupate mtu asiye muoga, alikuwa ukikosea anasema wazi”

Maelezo ya video, “Natamani tupate mtu asiye muoga, alikuwa ukikosea anasema wazi”
Iliyochapishwa

Fundi huyo kwa jina Didas Kabantega anasema maisha yamebadilika mjini Chato tangu kifo cha hayati John Pombe Magufuli.

Eagan Salla na taarifa zaidi