Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Shambulio la Christchurch: ‘Sitawahi kuwasamehe waliomshambulia binti yangu’
Iliyochapishwa
Mwaka mmoja baada ya shambulio la New Zealand dhidi ya msikiti wa Christchurch familia nyingi bado zinaendelea kurejelea hali ya kawaida. Watu 51 waliuawa baada ya watu waliokuwa wamejihami kwa bunduki kumiminia risasi misikiti ya Al Noor na Linwood wakati was ala ya Ijumaa Machi 15, 2019.