Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Tassia: Jengo laporomoka Kenya nini kilichotokea?
Iliyochapishwa
Watu wawili wamethibitishwa kufariki baada ya jengo la ghorofa sita kuanguka asubuhi ya leo katika eneo la Embakasi jijini Nairobi, Kenya huku wengine kadhaa wakihofiwa kunaswa chini ya kifusi cha jengo hilo.
Shughuli za uokoaji zinaendelea. Ripoti zinasema watu kadhaa wameokolewa na kukimbizwa hospitalini kwa ajili ya matibabu.