Nasa inasema mwezi unasinyaa kama zabibu iliyokauka, kwanini?
Iliyochapishwa
Nasa inasema umesinyaa kwa kiasi ya mita 50 katika miaka milioni mia kadhaa iliyopita. Wanasayansi wameufananisha na zabibu iliyosinyaa.
Nasa inasema umesinyaa kwa kiasi ya mita 50 katika miaka milioni mia kadhaa iliyopita. Wanasayansi wameufananisha na zabibu iliyosinyaa.