Filamu ya Kitanzania yapaa anga za kimataifa
Iliyochapishwa
Sekta ya filamu imeendelea kukua kila kukicha nchini Tanzania,ambapo sasa filamu zinazotengenezwa nchini humo zinavuka anga ya kimataifa na kuonyeshwa sehemu nyingine duniani.
T Junction ni miongoni mwazo, na licha ya kwamba imeigizwa na vijana chipukizi lakini maudhui yake yameweza kugusa wengi.